Daniel 7:1

Ndoto Ya Danieli Ya Wanyama Wanne

1 aKatika mwaka wa kwanza wa utawala wa Belshaza mfalme wa Babeli, Danieli aliota ndoto, nayo maono yakapita mawazoni yake alipokuwa amelala kitandani mwake. Akayaandika mambo aliyoyaona katika ndoto yake.

Copyright information for SwhKC